Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi

TCWLE

Kozi ya Astashahada ya Usimamizi wa Wanyamapori na Himasheria ni ya mwaka mmoja na  imeandaliwa kwa ajili ya kufundisha wahitimu wa Astashahada ya Awali ya Usimamizi wa Wanyamapori na Himasheria na vijana waliomaliza kidato cha sita. Wahitimu wanaandaliwa kuwa viongozi wa Askari wanyamapori wakati wa kutekeleza majukumu ya kawaida ya kila siku. Maeneo wanayoandaliwa kufanya kazi ni katika Taasisi za Serikali, Mashirika Binafsi, Jumuiya za Hifadhi za Vijiji, Makampuni ya Uhifadhi na Uwindaji na Mashirika ya Kimataifa. Mafunzo haya yatamuwezesha mhitimu kufanya kazi za kawaida za kila siku na zingine za ziada katika Usimamizi wa Wanyamapori na Himasheria.  Wahitimu wanaandaliwa kufanya kazi pamoja na; kuongoza vikundi vya ulinzi na doria katika maeneo ya hifadhi na nje ya hifadhi, kukusanya taarifa mbalimbali za kiikolojia na zinazohusu wanyamapori, na shughuli zingine za kawaida na  ziada zitakazotolewa na viongozi sehemu za kazi.

This one-year course began on November and ends onSeptember next year.  It covers the following modules: - 

Code

Module Title

Semester

1

2

WLT 05101

Wildlife Intelligence and Crime Investigation

 

WLT 05202

Wildlife Conservation Laws and Policies

 

WLT 05203

Anti-Poaching Patrols and Wilderness Navigation

 

WLT 05204

Leadership in Patrol Operations

 

WLT 05105

Principles of Paramilitary Techniques

 

WLT 05106

Ballistics

 

WLT 05107

First Aid and Rapid Response

 

WLT 05108

Mammalogy and Ornithology

 

WLT 05109

Invertebrates, Herps and Fishes

 

WLT 05110

Botany

 

WLT 05211

Principles of Wildlife Management and Ecology

 

WLT 05212

Wildlife Utilization and Community Based Conservation

 

WLT 05113

Computer and Communication Skills

 

WLT 05214

Wildlife Entrepreneurship and Life Skills