Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi

Core Value

Maadili ya Msingi

Uadilifu na Uwajibikaji: Tunakuhakikishia kiwango cha juu cha uadilifu katika utoaji wa huduma za utawala na uwajibikaji katika kutoa ujuzi na maarifa na tunaahidi kudumisha na kutoa taarifa sahihi.

Uwezo: Tunawahudumia wanafunzi waliodahiliwa kwa gharama nafuu bila kuhatarisha gharama za uendeshaji.

Hali ya kifedha: Tunajitahidi kuwa na mikakati thabiti inayotuhakikishia uwezo wa rasilimali fedha za kutosha.

Usikivu: Tunajitahidi kujibu mahitaji ya wateja kulingana na mabadiliko ya nyakati katika dunia.

Umahiri wa Watumishi: Tunajitahidi kukuza watumishi thabiti wenye sifa nzuri na wenye motisha ambao wanatekeleza dira na dhima ya Taasisi kwa viwango vinavyokidhi vigezo.

Tutahakikisha uhifadhi endelevu wa wanyamapori: Tunajitolea kwa uhifadhi endelevu wa wanyamapori.

Ubunifu Shirikishi: Tunajitahidi kujenga mahusiano mazuri na jamii.