Maradhi na Chakula
Baraza la wanachuo linatengenezwa na kamati mbalimbali kwa ajili ya kushughulikia masuala mbalimbali ya wanachuo. Baraza lina kamati za kudumu sita, kama ifuatavyo:
- Kamati ya chakula
- kamati ya elimu
- kamati ya nidhamu
- kamati ya usafi
- Kamati ya burudani